Ramadhani Msangi- Nafasi ya Mwenyekiti.
Saturday, 26 May 2007

1. Umri : miaka 31
2. Utaalamu: Biashara (masoko & matangazo), Habari na Sheria
3. Sijaoa
KWANINI NAGOMBEA:
Kuweza kushirikiana na wenzangu katika kuunda Jumuiya imara itakayowawezesha Watanzania kupata taarifa na maarifa kwa ajili ya maendeleo yao, hasa katika zama hizi ambapo kuna aya za kishetani zinazopigiwa debe kwa jina la sheria za uhuru wa habari.
NINI NITAFANYA:
- Kushirikiana na wenzangu kuunda katiba kwa ajili ya Jumuiya
- Kujenga mazingira ya kuifanya Jumuiya, tegemeo la kila Mtanzania
- Kujenga mazingira ya kuwawezesha na kuwavuta Watanzania zaidi katika ulimwengu wa TEKNOHAMA (Teknilojia ya Habari na Mawasiliano).
http://www.msangimdogo.blogspot.com
2. Utaalamu: Biashara (masoko & matangazo), Habari na Sheria
3. Sijaoa
KWANINI NAGOMBEA:
Kuweza kushirikiana na wenzangu katika kuunda Jumuiya imara itakayowawezesha Watanzania kupata taarifa na maarifa kwa ajili ya maendeleo yao, hasa katika zama hizi ambapo kuna aya za kishetani zinazopigiwa debe kwa jina la sheria za uhuru wa habari.
NINI NITAFANYA:
- Kushirikiana na wenzangu kuunda katiba kwa ajili ya Jumuiya
- Kujenga mazingira ya kuifanya Jumuiya, tegemeo la kila Mtanzania
- Kujenga mazingira ya kuwawezesha na kuwavuta Watanzania zaidi katika ulimwengu wa TEKNOHAMA (Teknilojia ya Habari na Mawasiliano).
http://www.msangimdogo.blogspot.com
Maoni: 4
« Rudi Mwanzo
Post a CommentHongera Msangi kwa kuingia uwanjani.Kila la kheri
Hongere Kamanda kwa kuchukuwa nafasi katika jumuiya ya wanablogu Tanzania.
Hongera kwa kuonyesha nia ya kuongoza jumuiya yetu.
Hongera Mzee!