Waombaji wa nafasi za uongozi.
Saturday, 12 May 2007
Katika kubooresha zaidi zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya, kamati imeona ni vyema waombaji wa nafasi hizo wawe wakituma maombi yao katika kamati na baadaye yatabandikwa katika ukurasa wa mbele.
Mambo ya kuzingatia katika uombaji:-
1. Tuma picha yako.
2. Wasifu wako.
3. Maelezo kwa nini unagombea nafasi unayoomba.
4. Nini unatarajia kufanya katika kuikuza Jumuiya.
Tuma maelezo kwa anuani hii mijasayi@yahoo.com
Mambo ya kuzingatia katika uombaji:-
1. Tuma picha yako.
2. Wasifu wako.
3. Maelezo kwa nini unagombea nafasi unayoomba.
4. Nini unatarajia kufanya katika kuikuza Jumuiya.
Tuma maelezo kwa anuani hii mijasayi@yahoo.com
Maoni: 7
Kumradhi,
baada ya kuona majina ya wanablogu maarufu Tanzania nikadhani sito weza kuchuana nao lakini baada ya kutafakari kwa kina zaidi ninaendelea na mpango wangu wa kuwania uwenyekiti.
Asanteni
baada ya kuona majina ya wanablogu maarufu Tanzania nikadhani sito weza kuchuana nao lakini baada ya kutafakari kwa kina zaidi ninaendelea na mpango wangu wa kuwania uwenyekiti.
Asanteni
samahani kiti cha mwenyekiti.
Wangombeaji mko wapi? Jitokezeni.
Ni kweli Ndesanjo, tunawapongeza waliojitokeza tayari.
Mjengwa,
tukakuchukulie fomu? Naamini unafaa kuwa kiongozi.
tukakuchukulie fomu? Naamini unafaa kuwa kiongozi.
Hongera kwa waliojitokeza
Asanteni.