Muulize swali mgombea.
Thursday, 21 June 2007
Wadau kuanzia sasa mnaruhusiwa kumtwanga swali lolote mgombea linalohusiana na nafasi anayoomba, swali na jibu vitabandikwa hapa katika ukurasa mkuu.
Karibuni.
Karibuni.
Maoni: 3
« Rudi Mwanzo
Post a CommentMimi naomba kuuliza, hivi sio muhimu viongozi wakawa wa Tanzania?naona wengine ni majirani zetu wa Burundi/Rwanda nao wamo!kama ni hivyo si waende kwao wakaanzishe.Samahani kama nitakuwa nimemkweza mtu.
Angalia blogu hiyo. Anzeni kuongea http://conscious-revolution.blogspot.com
Hivi siku inaanza saa ngapi?kamati ya maandalizi ilitoa siku mbili rasmi za kupiga kura Ijumaa na Jumamosi lakini mpaka sasa hivi wale tuliowahi kuja kupiga kura tumekuta mambo bado.
Nilitegemea kamati ya maandalizi ingetoa kurasa ya kupigia kura saa tano na dakika hamsini na tisa Alhamisi.
Leo ni Ijumaa nipo ofisini na nisaa 7:40 asubuhi bado sijaweza kupiga kura.
NO HURRY IN AFRICA,JAH BLESS.
Nilitegemea kamati ya maandalizi ingetoa kurasa ya kupigia kura saa tano na dakika hamsini na tisa Alhamisi.
Leo ni Ijumaa nipo ofisini na nisaa 7:40 asubuhi bado sijaweza kupiga kura.
NO HURRY IN AFRICA,JAH BLESS.