Tarehe ya uchaguzi 30/06/2007
Thursday, 14 June 2007
Wapendwa wanablogu, kamati ya muda inapenda kuwatangazia kuwa tarehe ya uchaguzi wa jumuiya itakuwa ni 30/06/2007. Tarehe hii imefikiwa ili kutoa muda kwa wagombea kufanya kampeni zao huku na kule na kuhakikisha wanablogu na wadau wote wanapata habari juu ya uchaguzi huu.
Pamoja na hilo, pia kamati imetoa nafasi za lala salama kwa yeyote ambaye bado angependa kugombea ajitokeze, bado tunahitaji watu na tunaamini watu tunao wenye kila uwezo wa kuinyanyua jumuiya yetu.
Asanteni wote.
Pamoja na hilo, pia kamati imetoa nafasi za lala salama kwa yeyote ambaye bado angependa kugombea ajitokeze, bado tunahitaji watu na tunaamini watu tunao wenye kila uwezo wa kuinyanyua jumuiya yetu.
Asanteni wote.
Maoni: 2
Siku hii sitakuwa karibu na computer mbaka tarehe moja mwezi wa saba. Sasa nitawezaje kupiga kura?
Jah live.